OUR AFRICA

OUR AFRICA

Thursday, April 22, 2010

ni vizuri kufikiri lakini si kufikiri tu, ni kufikiria nini, wakati ukiwa na shida utajifunza mengi sana na mengine yatakupelekea kujifunza mengine yasiyokusudiwa. tuwe makini tunapotaka kufikiri juu ya maisha. tuangalie nini kinatufaa na kwa wakati gani my people be care and always enjoy, kila kunapokucha angalia nini akili yako inakutuma, usipoteze muda kukaa na kusali ili mradi ukiwa mzima jipe moyo jioni itafika, ukiwa unaumwa pia jipe moyo na uwahi hosipitali ni lazima upone.

No comments:

Post a Comment