OUR AFRICA

OUR AFRICA

Saturday, April 17, 2010

one time in life tuchukue muda na kuwaza kwa makini nini hasa tunafanya hapa duniani, ni vizuri kutambua kazi za watu wa dini na kuziheshim lakini hebu tujiulize kwa makini kabisa JE KAZI YAO INA UMUHIMU GANI? ni vizuri kusali kwa maana tunapunguza maasi, lakini je kuna umuhimu wa kusali kama wanavyou tushauli hawa jamaa, nawaombeni kuwa karibu nami ili tupate kuujua ukweli katika maisha. ningependa sana kusali kama tu ningefahamu umuhimu wa kusali tofauti na hilo la kujifaliji na kuutibu nafsi iliyokata tamaa. TUSHIRIKIANEEEEEEEEEEE...

No comments:

Post a Comment